Wolper aliandika ‘Tukio lililoniuma ni kutohudhuria katika
furaha ya milele ya my dada kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu‘
ambapo baada ya post hiyo baadhi ya followers wa Wolper walianza kutukana
kwenye comments na kukosoa mavazi ya Maharusi kama unavyoona hapa chini.
SERIKALI YAKABIDHI MITAJI KWA VIJANA 47 WA BBT- UVUVI KAGERA
-
Mwakilishi wa Mkuu wa Mkoa wa Kagera Mhe. Erasto Sima ambaye ni Mkuu wa
Wilaya ya Bukoba, amesema Serikali itaendelea kuwawezesha vijana kiuchumi
kupiti...
13 hours ago


No comments:
Post a Comment