Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Monday, September 8, 2014

PICHA ZA BASI LA AIR BUS KUTOKA DAR ES SALAAM KWENDA TABORA LIMEPATA AJALI ENEO LA KIEGEYA, GAIRO NA KUUA WATU KADHAA

 Shughuli za uokozi zikiendelea muda mfupi uliopita
Basi la kampuni ya Airbus lililokuwa likitoka Dar es Salaam leo kuelekea Tabora limepinduka katika maeneo ya maeneo ya Kiegeya Gairo. Haijulikani idadi kamili ya watu waliopoteza maisha lakini ni wengi na wengine wamejeruhiwa vibaya sana.

“Picha hazifai kuona na mimi niko eneo la tukio kwa ajili ya uokozi. Viongozi mbali mbali wa serikali tunao hapa..kwakweli ni majonzi vilio nk,” ameandika shuhudu mmoja.
Baadhi ya mili ya watu waliopoteza maisha kwenye ajali hiyo
Ajali hiyo imetokea siku chache tu baada ya ajali nyingine ya mabasi mawili iliyotokea Musoma na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 35.


Chanzo cha ajali hiyo hakijajulikana mara moja

No comments:

Post a Comment