Zambia inafanya mazishi ya kitaifa ya Rais Michael Sata
ambaye alifariki dunia mwezi uliopita katika hospitali moja nchini Uingereza
akiwa na umri wa miaka 77. Maelfu ya watu wamehudhuria misa maalum iliyofanyika
kwenye uwanja wa Mashujaa jijini Lusaka. Viongozi mbalimbali wa kimataifa ni
miongoni mwa waliohudhuria. Akijulikana kama "King Cobra" kutokana na
matamshi makali, Rais Sata alichaguliwa kuwa rais mwaka 2011. Nchi hiyo kwa
sasa inaendeshwa na kaimu rais, na uchaguzi utafanyika mwezi Januari.
Miundombinu: Japan Yaipiga Jeki Tanzania Ujenzi wa Barabara za Mzunguko
Jijini Dodoma
-
Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-maamry Mwamba na Balozi wa Japan
nchini Tanzania Mhe. Yasushi Misawa wakisaini mikataba yenye thamani ya
shili...
3 minutes ago
No comments:
Post a Comment