Pages

Thursday, November 13, 2014

PICHA ZA MKUTANO WA CHADEMA KIGOMA


Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe (anaeonekana jukwaani) akiwahutubia maelfu ya wananchi wa mji wa Kigoma, katika mkutano wa hadhara wa Oparesheni Delete CCM, uliofanyika kwenye Uwanja wa Community Cetre mjini Kigoma jana.
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Zanzibar), Salumu Mwalimu akiwahutubia wananchi wa mji wa Kigoma katika mkutano wa hadhara wa Oparesheni Delete CCM, uliofanyika kwenye Uwanja wa Community Cetre mjini Kigoma jana.

No comments:

Post a Comment