Hivi unajua wewe kila siku nakuangalia tuu..... sasa leo
nitakuonesha kazi ....... ni kama huyu Tembo alikuwa akiyasema maneno haya.
nisamehe nakufaaa.".. ni kama Kiboko huyu alkuwa
akimwambia Tembo amsamehe ..
" Hapa kimenuka asije nigeuzia na mimi Kibao maana dah
maza anapewa kichapo cha hatari" Ni kama mtoto Kiboko alikuwa akiondoka
huku anatingisha kichwa.
" Sasa nakwambia ondokaa fastaa ..... ukiendelea kubaki
nakuanzishia kama mwanzo" Tembo huyu alionekana kama anamwambia Kiboko
huyo.
"Tena waambie na hao viboko wenzako nitawatandika .....
" alionekana kama anamwambia kiboko yule aliyekuwa akimpiga "Kimbieni
nyiee ..... kimbieniiiii..... atawamaliza! !"
Hapa kichapo tuu......
Dah hiiii ilikuwa ni kashesheee.....
No comments:
Post a Comment