Pages

Wednesday, November 12, 2014

WAZIRI MKUU AFUNGUA KONGAMANO LA UFUGAJI NYUKI JIJINI ARUSHA


Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akizungumza na wananchi wa jamii ya Wadzabe kutoka wilayani Karatu,mkoa wa Arusha leo wakati wa Kongamano la siku tatu la Wadau wa Ufugaji Nyuki barani Afrika na Mazao ya Asali linalofanyika jijini Arusha.
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akikagua mazao yanayotokana na ufugaji wa Nyuki kwenye banda la Wajasiriamali kutoka wilayani Kibondo mkoa wa Kigoma.


Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akizungumza jambo na Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu leo wakati akikagua mabanda ya wajasiriamali kwenye Kongamano la siku tatu la Wadau wa Ufugaji Nyuki barani Afrika na Mazao ya Asali linalofanyika jijini Arusha.
Wadau kutoka maeneo mbalimbali nchi wakionesha bidhaa zao zinazotokana na Ufugaji Nyuki na mazao yake likiwa na lengo la kutunza mazingira na kukuza uchumi.
Wadau kutoka maeneo mbalimbali nchi wakionesha bidhaa zao zinazotokana na Ufugaji Nyuki na mazao yake likiwa na lengo la kutunza mazingira na kukuza uchumi.
Banda la Shirika la TBS linalohakiki ubora wa bidhaa mbalimbali likiwa miongoni mwa washiriki ili kuhakikisha ubora wa bidhaa za wajasiriamali.

No comments:

Post a Comment