Pages

Sunday, December 21, 2014

AJALI::BASI LAGONGANA NA COASTER JIJINI MBEYA

 Wananchi wakitoa msaada kwa baadhi ya abiria waliokuwa wamenasa katika Coaster lililogongwa na basi.
Wananchi wakiwa eneo la Sogea, Tunduma ilipotokea ajali ya basi na Coaster.
WATU kadhaa wamejeruhiwa katika ajali iliyolihusisha Basi la Shalom Express lililokuwa likitokea Sumbawanga - Mbeya lililogonga Coaster iliyokuwa inatokea Mbeya- Tunduma eneo la Sogea, Tunduma jioni hii. Coster lilikuwa likijaribu ku-overtake lori ndipo lilipogongwa na basi hilo.
Idadi kamili ya majeruhi wa ajali hiyo bado haijafahamika

No comments:

Post a Comment