Pages

Thursday, December 4, 2014

KUWA MZALENDO TUMPIGIE KURA IDRIS ARUDI NA USHINDI TANZANIA



Watanzania tuungane na kumchagua mwenzetu Idris Sultan aweze shinda mashindano ya Big Brother Africa.Wiki hii ndio wiki ya mwisho na kinyang'anyori ni kikali kweli .Ila Idris ana nafasi nzuri ya kushinda
tukimpigia kura.Ameweza kuonyesha ni mtu mwenye vipaji lukuki na kuweza kwenda mbali kwa vipaji alivyonavyo

 Mpe kura yako kwa  kupiga

 1.Kura ya bure kupitia mtandao na simu mara 100 bila gharama
yoyote.Unachohitaji ni kuweka namba yako kwenye link ya DSTV na
ku-press Idris mara 100 .Pitia hapa

 haichukui zaidi ya dakika tano

 2.Download  WeChat app kwenye smartphone yako, ongeza ID
BigBrotherAfrica na  piga kura mara 100 bure !

 3.Tuma sms Vote Idris kwenda namba 15426 kupitia mitandao yote
Tanzania.Unaweza fanya hivyo hata kwa mara 100 kwa siku haina noma!


 4.Sehemu nyingine Africa tuma sms Vote Idris kwenda 2783142100414 mara 100

 Asanteni

How to Vote

1.Vote for free up to 100 times on the website and again up to 100
times on the mobile site

     FIRST register here
     https://connect.dstv.com/4.0.863/en-ZA/Login/?returnUrl=http%3A%2F%2Fbigbrotherafrica.dstv.com%2Fvote

     It will take you 5 minutes only to send 100 free votes to Idris
2.Download the WeChat app on your smartphone, add ID BigBrotherAfrica
and vote up to 100 times  FOR FREE !

3.In Tanzania through sms " VOTE Idris" and send to 15426  Vote up to
100 times by SMS (Vodacom,tiGO,Zantel,Airtel).You are charged Tsh 600
only

4.In Rest of Africa sms " VOTE Idris " and send to 2783142100414  Vote
up to 100 times by SMS

No comments:

Post a Comment