Baada ya siku ya jana kujibiwa na Q Chief juu ya coment
aliyoitoa baada ya kuulizwa swali juu ya kilichopelekea kuvunjika kwa Top Band
TID nae atoa yake ya moyoni,
Q Chief aliongea mengi sana moja wapo ilikuwa ni kuhusu
kutokusikia kwa Top Band ikifanya chochote kwa sasa na kumsihi TID aache unga,
aangalie wazazi wake na familia yake kwa ujumla huku akidai kuwa yeye kashaacha
unga, Tid amemjibu kwa kusema
“mimi ndio hela zangu, album yangu, yaani kitu changu yeye
kaja kuomba kufanya kazi tu, namlipa kama mshahara wake tu sio kwamba yeye ni
part of it hapana.hicho ndio alichokosea yeye, hio ndio tatizo lake,
yaani … mi nataka watu wajue hivyo. ebwana yule kaja bana mi
kuimba kuimba kwenye bendi yangu, sawa sawa, nimekuingiza kwenye album kwenye
wimbo mmoja, tumefanya wimbo, nimeenda kwa muhindi mimi, nimechukua hela mimi,
nimekukabidhi hela kama malipo yako, baadae eti unakuja kuniambia eti ebwana
katika zile milioni kumi mimi bwana huwezi kunipa milioni kumi bwana sio kitu
chako wala nini, yaani wewe ur just a featuring.hicho ndio kitu mi
ninachomshangaa anachanganyikiwa.”
mimi halafu nilivyokuwa mstaaru amenichukulia na polisi
nini, anataka milioni nne, nikachukua hela nikampa kaanzisha bendi yake ikwapi?
ana bendi sasa hivi? hana hata gita vitu vyote kauza, mimi ukija kwangu sasa
hivi kuna kila kitu, hadi waya wa kuchomeka sijauzaaaa, hadi vile vya mwanzo na
nilivyonunua tena vipya juzi uingereza
sijauza am not stupid yeye ndio stupid. halafu yaani daah ebwana jamaa
amenipakazia kweli rafiki yangu, hadi mama angu ametaka kulia, nimeenda
nyumbani mi nilikuwa sijui heee umerudi mama sasa hivi, halafu mimi sasa
nilikuwa nakazi natakiwa niende studio ku-record, yaani jamaa anazidi
kunichengua ananitoa kwenye mood, mama akaniambia “ndio nini sasa,” was like
mom, nilikuwa nafanya interview tu Casto kaniuliza swali.
No comments:
Post a Comment