Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Wednesday, February 11, 2015

MSAANI MAARUFU BONGO MOVIE JENNIFER KYAKA MAARUFU ODAMA KUACHIA FILAMU YAKE KALI YA JADA TAR 19.02.2015

Msanii mwenye heshima kubwa katika tasnia ya filam tanzania jenniferkyaka odama baada filamu zake kushika chat za juu Na kupendwa na mashabiki na kusema zinaelimisha sana sasa amekuja na nyingine inayokwenda kwa jina la “JADA” Si Filamu Ya Kukosa kwani inaelimisha na kuburudisha.
Ndani ya Filamu Hii kuna mastaa kibao kama Wastara Juma,Hemedi ambao wamevaa uhusika wao vizurii na kuifanya Filamu hii kuwa ya kuvutia.

No comments:

Post a Comment