Kweli Mziki unalipa sana ,msanii wa kizazi kipya Hamis
Mwijuma (Mwna FA) aonyesha jeuri ya fedha.Mwana FA asafiri kwenda Massachusetts
kwa kutumia ndege wanayotumia matajiri
wakubwa,Ona Picha ya Juu,nadhani mwana
FA anajibu Mtanzania genius aliyepanda bizness class.
No comments:
Post a Comment