Raia wa Nigeria kesho wanatarajiwa kujitokeza katika uchaguzi mkuu wa nchi hiyo
Hata
hivyo kumekuwa na vute ni kuvute huku kuripotiwa taarifa ya Mtendaji
Mkuu wa Kampuni
inayosambaza mashine za kusoma vitambulisho vya elekroniki vya wapiga kura kukamatwa na maafisa usalama wa nchi hiyo.
inayosambaza mashine za kusoma vitambulisho vya elekroniki vya wapiga kura kukamatwa na maafisa usalama wa nchi hiyo.
Chama
kinachotawala nchini humo cha PDP kimesema kwamba mtendaji huyo Musa
Sani anahusishwa na chama kikuu cha upinzani nchini humo cha APC ambaye
anadhaniwa kutaka kuvuruga uchaguzi huo.(BBC)
No comments:
Post a Comment