Mrisho Ngassa amesafiri hadi South Africa na mpenzi wake kwa ajili ya mampumziko. Ngassa anategemea kuweka makazi yake hukohuko pia pale msimu wa 2015/2016 ukianza kwasababu hivi sasa ni mchezaji wa Free State United ya huko huko S.A. Enjoy kuangalia picha 5 za Ngassa na mpenzi wake ndani ya South Africa.
TANZANIA MWENYEJI KONGAMANO LA 10 LA JOTOARIDHI AFRIKA
-
Na Mwandishi wetu Dodoma
Wizara ya Nishati kwa kushirikiana na Kampuni ya Uendelezaji Joto Ardhi
Tanzania (TGDC) pamoja na Shirika la Umoja wa Mataifa la M...
26 minutes ago
No comments:
Post a Comment