Rais Uhuru Kenyata baada ya kutembelea mtaani kwenye duka la mama Mulili aliagiza soda na chapati.Akiwa ameongozana na makamu wake Ruto alipomuuliza amnunulie soda alikataa na kuagiza maziwa,Mama Malili mwenye duka amesema toka rais aje dukani kwake wateja wameongezeka na kampuni ya soda imemuimalishia miundo mbinu baada ya kuagizwa na rais wafanye hivyo.
UKAGUZI WA VYAKULA VYA MIFUGO NI ZOEZI ENDELEVU- DKT. OMARCH
-
Hayo yamesemwa na Meneja wa Maabara Kuu ya Veterinari kutoka Wakala ya
Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA) Dkt. Geofrey Omarch alipokuwa
akifanya ukaguz...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment