Beki wa timu ya LLBA ya Burundi, Hakizimana Issa akijaribu
kumzuia mchezaji wa timu ya APR ya Rwanda, Mubumbyi Barnabe katika mchezo wa
Kome la Kagame uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijioni Dar es Salaam. APR imeshinda 2-1. (Picha na Francis Dande)
Beki wa LLBA FC ya Burundi, Manirakiza Aruna akioko hatari langoni mwake.
Simbomana Patrick wa APR ya Rwanda (kulia) akichuana na mchezaji wa LLBA FC ya Burundi, Ndaye Chancel.
Uwimana Messo akimiliki mpira uku akizongwa na mchezaji wa APR, Simbomana Patrick.
Picha na Francis Dande
Picha na Francis Dande
No comments:
Post a Comment