Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Friday, July 24, 2015

APR YAICHAPA LLBA FC YA BURUNDI 2-1


Beki wa timu ya LLBA ya Burundi, Hakizimana Issa akijaribu kumzuia mchezaji wa timu ya APR ya Rwanda, Mubumbyi Barnabe katika mchezo wa Kome la Kagame uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijioni Dar es Salaam. APR imeshinda 2-1. (Picha na Francis Dande)
Beki wa LLBA FC ya Burundi, Manirakiza Aruna akioko hatari langoni mwake. 
 Heka heka katika lango la timuya LLBA FC.

 
 Simbomana Patrick wa APR ya Rwanda (kulia) akichuana na mchezaji wa LLBA FC ya Burundi, Ndaye Chancel.
 Uwimana Messo akimiliki mpira uku akizongwa na mchezaji wa APR, Simbomana Patrick.
Picha na Francis Dande

No comments:

Post a Comment