Davido ni msanii wa Nigeria ambaye ujazo wa jina lake
ulizidi kuongezeka Tanzania baada ya kufanya ‘number one rmx’ na Diamond
Platnumz, wawili hawa walitaja kuwa kwenye beef baada ya Davido kuandika
sentensi tata baada ya Tanzania kutangazwa mshindi wa shindano la BBA 2014.
PWANI WAITWA KUBORESHA TAARIFA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
-
Makamu Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Mhe. Jahi (Rufaa)
Mbarouk S. Mbarouk.
Chifu wa Mkoa wa Pwani Salim Mashimb
Na Khadija Kalili ...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment