Ngoma Africa band yenye makazi yake nchini Ujerumani na Mama wa Mitindo Asia Idarous-Khamsin walivyonogesha hafla ya Kongamano la Pili la Diaspora lililofanyika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam Agosti 15, 2015 ambapo Ngoma Africa band walituma CD yenye nyimbo kali mbili za kumuaga Rais Kikwete na Mama wa Mitindo alifanya onesho maalumu la mavazi ya Kiafrika.
UKWELI KUHUSU UMEME KUTOKA KENYA
-
Baada ya kauli ya Rais Samia ya kununua umeme kutoka Kenya, kumeibuka
mjadala mkali.
Nimemtafuta mtaalamu serikalini afafanue. Naye ameniambia hivi: Unu...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment