Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Wabunge kwenye viwanja vya Bunge jini Dodoma Januari 28, 2016. Kutoka kushoto ni Jumanne Kishimba wa Kahama, Edwin Ngonyani wa Namtumbo ambaye pia ni Naibu Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi, Hussein Amar wa Nyangwhale, Prosper Mbene wa Morogoro Kusini na Joseph Kalanda wa Sikonge. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
MATUNDA YA UWEKEZAJI WA BANDARI YA TANGA YAANZA KULIPA MELI YA 12 ILIYOBEBA
SHEHENA YA MAGARI YATUA
-
Meneja wa Bandari ya Tanga Masoud Mrisha akizungumza na waandishi wa habari
ambao hawapo pichani baada ya kuipokea meli iliyotoka nchini China moja kwa
m...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment