Pipa likiwa limeja taka
Tunawapongeza sana manispaa ya Kinondoni kwa wazo la kuweka mapipa ya taka katika vituo vya mabasi.Ila shida ni moja mapipa hayo yanawekewa taka mpaka yanajaa na hazitolewi kwa mda,kutokutolewa kwa mda taka izo husababisha kuanza kudondoka tena na mwishowe kusababisha uchafu tena.Maoni kuwe na usimamizi mzuri wa taka izo kutolewa kwa mda.PICHA NA DJ SEK BLOG
PICHA ZOTE NA .PICHA NA DJ SEK BLOG
WANAWAKE SF GROUP WATUMIA MAADHIMISHO YA SIKU YA MWANAMKE KUTOA MISAADA
KIBAHA
-
VICTOR MASANGU,KIBAHA
Wafanyakazi wanawake wa kampuni ya SF group ya Jijini Dar es Salaam katika
kuadhimisha maadhimisho ya siku ya mwananke duniani wameam...
4 hours ago




No comments:
Post a Comment