Waziri
wa Uchukuzi,Dr Harisoni Mwakembe afanya ukakuguzi wa tiketi ilikubaini
mabasi yaliyo toza gharama kubwa za nauli zakusafiria katika kipindi cha
Xmass na mwaka mpya,badhi ya mabasi yalikamatwa nakuamuliwa kurudisha
nauli zilizozidi abiria wao.zoezi hilo limefanyika majira ya alfajiri
katika eneo la Visiga mkoani pwani na kila basi lilozidisha nauli
lilitozwa faini ya shilingi laki mbili na nusu.
MEYA KIBAHA KUTOA ZAIDI YA MILION 18 KUCHIMBA VISIMA VINNE KUPUNGUZA KERO
YA MAJI PANGANI
-
Na Mwamvua Mwinyi, Kibaha Disemba 22, 2025
Baadhi ya wananchi wa Mtaa wa Kidimu, Kata ya Pangani, Halmashauri ya
Manispaa ya Kibaha wanakabiliwa na uhaba...
7 hours ago



No comments:
Post a Comment