
Mwenyekiti
wa chama cha CCM,Rais Jakaya Kikwete akiwapungia Viongozi mbalimbali wa
chama,Serikali,na viongozi wa dini na watu mbalimbali (hawapo pichani)
waliofika kumpokea mara baada kuwasili jioni ya leo kwenye
uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Songwe tayari kwa kuongoza maadhimisho
ya sherehe za miaka 37 ya chama hicho yatakayofanyika kwenye uwanja wa
kumbukumbu wa Sokoine mjini humo.

Pichani
Kati ni Mwenyekiti wa CCM,Rais Jakaya Kikwete akiwa ameambatana na
Katibu Mkuu wa chama hicho,Ndugu Kinana (kushoto) pamoja na Mwenyekiti
wa CCM mkoa wa Mbeya na Mbunge wa jimbo la Mbozi Mashariki,Mh Godfrey
Zambi mara baada ya kuwasili uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Songwe
jioni ya leo.

Pichani
kati Mwenyekiti wa CCM,Rais Jakaya Kikwete pamoja na Viongozi wa ngaji
za juu wa chama hicho,kulia ni Katibu Mkuu wa chama hicho,Ndugu
Kinana,Makamu Mwenyekiti Taifa,Mh.Phillip Mangulla na shoto ni Mwenyekiti
wa CCM mkoa wa Mbeya na Mbunge wa jimbo la Mbozi Mashariki,Mh Godfrey
Zambi wakiwa kwenye kikao cha wanachana mbalimbali wa chama hicho
(hawapo pichani) ndani ya ofisi ya makao makuu jijini Mbeya jioni ya leo
mara baada ya kuwasili.

Katibu
Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akilakiwa na waendesha boda boda kutoka sehemu
mbali mbali,alipowasili kwenye uwanja wa Kimataifa wa Songwe,jijini
Mbeya mapema leo wakati alipokwenda kumpokea Mwenyekiti wa chama cha
CCM,Rais Jakaya Kikwete aliyewasili jioni ya leo kwa ajili ya
kuhserehekea maadhimisho ya miaka 37 ya chama cha CCM yatakayofanyika
katika uwanja wa Sokoini mkoani humo.

Katibu
wa Uchumi na Fedha Bi.Zakia Meghji akizungumza jambo na Waziri wa Nchi
Ofisi ya Rais asiye na Wizara maalum na Mbunge wa jimbo la Rungwe
Mashariki,Mh.Prof.Mark Mwandosya walipokutana jioni ya leo kwenye uwanja
wa Ndege wa songwe walipokuwa wakimsubiri Mwenyekiti wa chama cha
CCM,Rais Jakaya Kikwete aliyewasili leo jioni tayari kwa kuongoza
maadhimisho ya sherehe za miaka 37 ya chama hicho yatakayofanyika kwenye
uwanja wa kumbukumbu wa Sokoine mjini humo.

Katibu
Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana pichani kushoto akizungumza jambo kwa
msisitizo na Waziri wa uchukuzi Dr.Harrison Mwakyembe,ambaye pia ni
Mbunge wa jimbo la Kyela walipokutana jioni ya leo kwenye uwanja wa
Ndege wa Kimataifa wa Songwe walipokuwa wakimsubiri Mwenyekiti wa chama
cha CCM,Rais Jakaya Kikwete aliyewasili leo jioni tayari kwa kuongoza
maadhimisho ya sherehe za miaka 37 ya chama hicho yatakayofanyika kwenye
uwanja wa kumbukumbu wa Sokoine mjini humo. PICHA NA JIACHIE BLOG NA FULL SHANGWE BLOG
Mwenyekiti
wa Chama Cha Mapinduzi CCM Rais Dr.Jakaya Kikwete akivishwa skafu na
vijana wa chipukizi mkoa wa Mbeya mara baada ya kuwasili mkoani humo
kushoto ni Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana.
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM Rais Dr. Jakaya Kikwete akisalimiana na viongozi mbalimbali wa mkoa wa serikali na chama.
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM Rais Dr. Jakaya Kikwete akisalimiana na viongozi na wabunge
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM Rais Dr. Jakaya Kikwete akisalimiana na vijana wa UVCCM.
Mwenyekiti
wa Chama Cha Mapinduzi CCM Rais Dr. Jakaya Kikwete akiwa katika kikao
cha ndani na viongozi wa CCM mkoa wa Mbeya kutoka kulia ni Katibu Mkuu
wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana, Mzee Philip Mangula Makamu Mwenyekiti
Bara na kushoto ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mbeya na Naibu Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika Mh. Godfrey Zambi
wajumbe wa harmashauri kuu mkoa wa Mbeya wakiwa katika kikao hicho.
Mary
Mwanjelwa Mbunge wa viti maalum CCM mkoa wa Mbeya akisalimiana na
makada wa chama hicho kushoto ni Kada wa CCM Richard Kasesela.
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akimsikiliza Mkuu wa Wilaya ya
Mbeya Mh. Dr. Norman Sigalla wakati aliookuwa akizungumza jambo naye
katikati ni Kada wa CCM Bw. Mwakipesile na kuliani Mkuu wa mkoa wa Mbeya
Mh. Abas Kandoro.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na Kamnda wa polisi mkoa wa Mbeya SACP AHMED Z. MSANGI wakati wa mapokezi hayo.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na viongozi wanawake wa mkoa wa Mbeya.
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza kwa msisitizo na Dr.
Harrison Mwakyembe Waziri wa Uchukuzi wakati wa mapokezi hayo.
Ndege ya Rais Jakaya Kikwete ikiwasili kwenye uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Songwe mkoani Mbeya
No comments:
Post a Comment