Simanzi
inazidi kutawala katika mitaa ya msimbazi baada ya kocha mkuu wa timu
hiyo Mganda Moses Basena kufiwa na mama yake mzazi, kwao Uganda.
Mama
yake Basena ambaye alikuwa anaugua kwa muda mrefu kiasi cha kupelekea
kocha huyo kuondoka jana kuelekea kwao kwenda kumuona mama yake.
Taarifa
tulizozipata kutoka mtaa wa msimbazi zinasema kuwa mama wa kocha huyo
amefariki leo asubuhi katika moja ya hospitali kubwa jijini kampala-Ug.
Blog hii inatoa pole kwa Moses Basena, klabu ya Simba na wapenzi WA SOKA kwa ujumla.
No comments:
Post a Comment