Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Tuesday, November 29, 2011

TAARIFA YA PAMOJA YA SERIKALI NA CHADEMA BAADA YA MKUTANO WA SIKU MBILI ULIOMALIZIKA LEO IKULU


Ujumbe wa Uongozi wa CHADEMA ukipitia kwa makini taarifa ya pamoja kati ya serikali na chama hicho kabla ya kukisambaza kwenye vyombo vya habari ikiwa ni hitimisho la mkutano wao baada ya mazungumzo ya siku mbili Ikulu jijini Dar es salaam.
Viongozi wa CHADEMA wakiwasili Ikulu
Wajumbe upande wa Serikali
Rais Kikwete akijadiliana na Profesa Mwesiga Baregu (kulia), Freeman Mbowe na Mh Bernard Membe wakati wa mapumziko mafupi
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt Emmanuel Nchimbi na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais anayeshughulikia Muungano Mh. Samia Suluhu Hassan wakipitia taarifa hiyo ya pamoja
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mh Bernard Membe (kati) akiwa na maafisa wa serikali wakipitia taarifa hiyo
Mkutano ambao leo umedumu kwa takriban masaa matano ukiendelea

No comments:

Post a Comment