Mara
baada ya Amiri Jeshi Mkuu Rais Dk. Jakaya Kikwete kukagua vikosi vya
ulinzi na usalama na vikosi hivyo kutoa heshima kwa Amiri Jeshi Mkuu
huyo, kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania leo katika
uwanja wa Uhuru, yalifuatia maonyesho ya vifaa vya kijeshi
vilivyoonyeshwa na jeshi tukufu la Tanzania JWTZ, ambapo askari wa jeshi
hilo wakiwa wakakamavu, walipita na kuonyesha vifaa vya kivita kama
linavyoonekana na gari hili ni la Rada hutumiwa na jeshi la wanamaji
likiwa na
KAMATI TENDAJI YA MRADI WA SOFF YAKUTANA KUIDHINISHA MPANGO KAZI WA
UTEKELEZAJI WA MRADI TANZANIA.
-
Na Mwandishi wetu Michuzi Tv
KAMATI Tendaji ya Utekelezaji wa Mradi wa Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa
Kuimarisha Uangazi wa Hali ya Hewa (SOFF) umekutana ...
11 hours ago
No comments:
Post a Comment