Mwanamuziki
mpya wa Bendi ya Mashujaa,Charles Gabriel a.k.a Chaz Baba akiwasilli
kwenye uwanja wa ndege wa Julius Nyerere jana jioni ya jana akitokea nchini
Dubai alikokuwa amekwenda kwa mapumziko mafupi baada ya kuikacha Bendi
yake ya awali ya African Stars (Twanga Pepeta).
KAMATI TENDAJI YA MRADI WA SOFF YAKUTANA KUIDHINISHA MPANGO KAZI WA
UTEKELEZAJI WA MRADI TANZANIA.
-
Na Mwandishi wetu Michuzi Tv
KAMATI Tendaji ya Utekelezaji wa Mradi wa Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa
Kuimarisha Uangazi wa Hali ya Hewa (SOFF) umekutana ...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment