Jana jioni ajali mbaya iliyogharibu maisha ya watu 6 na wengine 46
kujeruhiwa ilitokea mkoani Pwani kama ambavyo baadhi ya vyombo vya
habari vilivyoripoti leo hii. Kama hamkupata taswira baadhi ya picha
zilizopo hapa chini zitawaonesha jinsi hali ilivyokuwa. Baadhi ya
picha hatukuweza kuzituma kwa sababu ya maadili na heshima ya utu wa
mwanadamu.
PIGA PESA NA MECHI YA JUMATATU YA LEO
-
SIKU nyingine ya kutusua mkwanja na wakali wa ubashiri Meridianbet ni leo.
Ingia kwenye akaunti yako na usuke jamvi lako la ushindi siku ya leo.
Leo hii ...
52 minutes ago
No comments:
Post a Comment