Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Monday, April 16, 2012

Chelsea yaiadhibu Spurs

 
Chelsea iliwachapa Tottenham mabao 5-1 nakuingia katika fainali za kombe la FA ambapo watakutana na Liverpool.
Chelsea walivyojipatia bao la utata
Utata huo sasa umeibua mjada kwamba kuna haja ya kuanzishwa mara moja kwa utaalam wa kuangalia kama mpira umevuka mstari wa goli au la.
Ushindi huo mnono umempa raha mkufunzi wa Chelsea Roberto di Matteo kwani umeiweka katika hali nzuri ya kupambana na Barcelona watakapowatembelea siku ya Jumatano.
Wakati Chelsea wakifurahia ushindi wao Spurs walikua na malalamiko chungu nzima kwani walidai kuwa walikuwa wanaonewa pale mpuliza kipenga ,Martin Atkinson alipowapa Chelsea bao la utata.

No comments:

Post a Comment