Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Tuesday, May 29, 2012

IDD SIMBA AFIKISHWA MAHAKAMA NA WENZAKE 4


Aliyewahi kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara miaka ya nyuma,Mh. Idd Simba (kulia) akiongea na Wakili Said Hamad El-Maamry wakati alipofikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo kujibu mashata 8 likiwemo la kudanganya, kughushi na kulitia hasara ya sh. milioni 320 Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA). Mshtakiwa huyo alifikishwa mahakamani hapo pamoja na washtakiwa wengeni watatu akiwemo Diwani wa zamani wa kata ya Sinza, Salum Mwaking'nda.
mtuhumiawa mwingine katika kesi hiyo akiwa mahakamani hapo.
Aliyekuwa Diwani wa Kata ya Sinza, Salum Mwaking'nda akiwa Mahamani.
Picha zote kwa hisani ya Michuzi Blog

No comments:

Post a Comment