Samweli Sitta anaendelea Nahodha anaenda Ulinzi Magufuli anaendelea ujenzi Mwinyi anaenda afya na ustawi wa jamii Kawambwa elimu na mafunzi ya ufundi Sophia simba anaendelea Chikawe anarudi katiba na sheria Nchimbi anakuwa mambo ya ndani Matayo anaendelea Mbawala anaendeea Tibaijuka anaendelea Chiza kilimo, chakula na ushirika Maghembe anakuwa waziri wa maji Mwakyembe analuwa uchukuzi Mkandara anakuwa waziri wa habari Kagasheki maliasili na utalii Kigoda viwanda Mgimwa, anakuwa waziri wa fedha Mak mwandosya hana wizara maalumu
No comments:
Post a Comment