Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Wednesday, June 20, 2012

MATOKEO NA PICHAZ ZA MECHI ZA EURO 2012!

Wyne Rooney na John Terry.
Mchezaji Wyne Rooney ameifungia England goli pekee kwenye mechi ya Ukraine na kufanya wachukue nafasi ya kuongoza Kundi D na kuingia kwenye robo fainali 2012 watakapokutana na Italia.
Kwenye sentensi nyingine Sweden imeshinda 2 -0 kwenye mechi na France.
Goli hilo pekee la Rooney limepatikana kwenye dakika ya 48.
.
.
.
.

No comments:

Post a Comment