Mchezaji
Wyne Rooney ameifungia England goli pekee kwenye mechi ya Ukraine na
kufanya wachukue nafasi ya kuongoza Kundi D na kuingia kwenye robo
fainali 2012 watakapokutana na Italia.
Kwenye sentensi nyingine Sweden imeshinda 2 -0 kwenye mechi na France.
WAFUGAJI WAMETAKIWA KUACHA KUFUGA KWA MAZOEA
-
NA FARIDA MANGUBE
Wafugaji wametakiwa kuachana na ufugaji wa mazoea badala yake watumie
ushauri wa wataalamu wa afya ya mifugo ili kuongeza uzalishaji ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment