Drama
Boy Herry Sameer Rajab muite Mr Blue Jumapili iliyopita amebahatika
kupata mtoto wa kiume kutoka kwa his long time girlfriend Wahida, Hivi
karibuni pia Dogo Hamidu/Nyandu Toz nae alipata mtoto wa kiume akampa
jina la mshikaji wake yani Herry (Mr Blue). Hii ikiwa ni kushow love kwa
Mr Blue na fans.Mtoto wa Mr Blue amempa jina lake la Herry a.k.a Nyandu Toz. Mr Blue ni baba Herry na Nyandu Toz ni baba Herry..Safi.
WAHARIRI WAJENGEWA UELEWA UMUHIMU ULINZI TAARIFA BINAFSI
-
Na Said Mwishehe, Michuzi TV-Morogoro
TUME ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi(PDPC) iliyoanzishwa mwaka 2022 ,
imekutana na Jukwaa la Wahari Tanzania(TEF) kwa le...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment