Katika
tukio lingine katika club baada ya lile la Chriss Brown na Drake eti
inasemekana walileteana walirushiana chupa club na kupeleka Chriss Brown
kuumia kidevu, huko Hoston watu sita walipigwa risasi katika Southwest
Strip NightClub na watatu kufa papo hapo kati ya majeruhi alikuwepo
rapper kutoka Houston Trae Tha Truth. Habari kutoka MvFox Houston zinasema wawili kati ya hao waliopigwa risasi walikuwepo wavulana wawili na mwanamke mmoja.
WAHARIRI WAJENGEWA UELEWA UMUHIMU ULINZI TAARIFA BINAFSI
-
Na Said Mwishehe, Michuzi TV-Morogoro
TUME ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi(PDPC) iliyoanzishwa mwaka 2022 ,
imekutana na Jukwaa la Wahari Tanzania(TEF) kwa le...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment