Katika
tukio lingine katika club baada ya lile la Chriss Brown na Drake eti
inasemekana walileteana walirushiana chupa club na kupeleka Chriss Brown
kuumia kidevu, huko Hoston watu sita walipigwa risasi katika Southwest
Strip NightClub na watatu kufa papo hapo kati ya majeruhi alikuwepo
rapper kutoka Houston Trae Tha Truth. Habari kutoka MvFox Houston zinasema wawili kati ya hao waliopigwa risasi walikuwepo wavulana wawili na mwanamke mmoja.
KAMATI TENDAJI YA MRADI WA SOFF YAKUTANA KUIDHINISHA MPANGO KAZI WA
UTEKELEZAJI WA MRADI TANZANIA.
-
Na Mwandishi wetu Michuzi Tv
KAMATI Tendaji ya Utekelezaji wa Mradi wa Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa
Kuimarisha Uangazi wa Hali ya Hewa (SOFF) umekutana ...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment