Mh Mbowe amesema kuwa Marehemu Makani alikuwa akiugua kwa muda mrefu na kupelekwa hospitali mbalimbali kwa matibabu ikiwemo nje ya nchi,amesema kuwa Mwili wa Marehemu umehamishiwa katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa hifadhi. Msiba upo nyumbani kwake Mbezi Beach jirani na Rainbow.
DKT.BITEKO AWATAKA WAFANYAKAZI WANAWAKE WA TANESCO KUWA MABALOZI WA KUTUMIA
NISHATI SAFI YA KUPIKIA
-
*Wanawake hao wamzawadia jiko la umeme Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa
Nishati
Na Mwandishi wetu.
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment