Gari ya Abiria aina ya Isuzu Journey ikiteketea kwa moto mchana wa leo maeneo ya Buguruni Rozana jijini Dar es salaam. Chanzo cha moto huo hakikujulikana mara moja na hakuna aliejeruhiwa wala kupoteza maisha katika ajali hii ya moto.IMEANDIKWA NA MAGGID MJENGWA
RAIS MWINYI ATOA WITO KUITANGAZA ZANZIBAR KIMATAIFA KUPITIA DIPLOMASIA YA
UCHUMI
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali
Mwinyi, amesema Zanzibar ina fursa nyingi za kiuchumi hususan katika sekta
ya Uch...
5 minutes ago
No comments:
Post a Comment