Pages

Wednesday, August 15, 2012

AKUFFO, OCHIENG WALIVYOMWAGA WINO MSIMBAZI LEO, HAPA HAKUNA LONGOLONGO



Mjumbe wa Kamati ya Usajili ya Simba SC, Mohamed Nassor (kushoto) akimshuhudia mshambuliaji mpya wa klabu hiyo, Daniel Akuffo akisaini mkataba wa kuichezea klabu hiyo. 

 
Mjumbe wa Kamati ya Usajili ya Simba SC, Mohamed Nassor (kushoto) akimshuhudia beki mpya wa klabu hiyo, Paschal Ochieng akisaini mkataba wa kuichezea klabu hiyo.
Ochieng kulia na Akuffo kushoto..
source bin zubeiry

No comments:

Post a Comment