KIJANA
mmoja ameuawa wakati mwenzake anayesadikiwa kuwa ni Ustadh kwa mavazi
aliyokuwa amevaa, akinusurika kuuawa baada ya kutuhumiwa kuiba baiskeli
eneo ya Kihonda mkoani Morogoro jana jioni. Kwa mujibu wa jeshi la
Polisi, mtuhumiwa huyo aliye hai amelazwa katika hospitali ya Rufaa
mkoani hapa kwa matibabu.
TEA YAKABIDHI MIRADI ILIYOKAMILIKA WILAYANI MTAMA NA MASASI.
-
Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA), Dkt. Leonard
Akwilapo, amekabidhi vyeti kwa shule tatu zilizonufaika na miradi ya Mfuko
wa Elimu wa ...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment