KIJANA
mmoja ameuawa wakati mwenzake anayesadikiwa kuwa ni Ustadh kwa mavazi
aliyokuwa amevaa, akinusurika kuuawa baada ya kutuhumiwa kuiba baiskeli
eneo ya Kihonda mkoani Morogoro jana jioni. Kwa mujibu wa jeshi la
Polisi, mtuhumiwa huyo aliye hai amelazwa katika hospitali ya Rufaa
mkoani hapa kwa matibabu.
VIJANA WAASWA KUTAFUTA FURSA KWENYE KILIMO CHA KIENYEJI
-
Na Linda Akyoo -Moshi
Katika juhudi za kukuza kilimo cha kienyeji na endelevu,Taasisi ya Vijana
Yenye Uwezo (TYC) iliandaa tukio la utoaji mafunzo kwa vija...
38 minutes ago
No comments:
Post a Comment