Daraja la Kigamboni likiendelea kujengwa katika bahari ya Hindi eneo la Kurasini. Daraja hilo litakapokamilika litakua na njia 6 pamoja na barabara za juu na kuwa moja ya Daraja kubwa na la kipekee Afrika mashariki na kati.
KATIBU WA SUKI RABIA "KILICHOFANYWA NA WAJUMBE WA MKUTANO MKUU HAKIJAVUNJA
KATIBA YA CHAMA"
-
NA WILLIUM PAUL, ROMBO.
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi na Katibu wa Nec Siasa na
Uhusiano wa Kimataifa (SUKI), Rabia Hamid amesema kuwa kilic...
11 hours ago
No comments:
Post a Comment