Meneja wa
NMB Kanda ya Kati Bi. Lilian Mwinula (wa pili kulia) akikabidhi vifaa
mbali mbali vya michezo vyenye thamani ya shilingi milioni 10 kwa ajili
ya Bonanza kwa Makamu Mkuu wa Chuo cha Dodoma Prof. Idris Kikula mkoani
Dodoma. Akiangalia (kulia) ni Meneja NMB UDOM Bw. Alex Mpagama.
Benki ya Absa Tanzania yazindua akaunti ya akiba ya kikundi.
-
Benki ya Absa Tanzania imezindua bidhaa mpya, Akaunti ya Akiba ya Kikundi,
inayolenga kuwawezesha watu wanaokusudia kufikia malengo ya kifedha ya
p...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment