Timu ya prison ya Mbeya imepata ajali eneo la HaLe mkoani Tanga,wachezaji Issa Mwantika,Lugano Mwangama,Khalidi Fungabreki,Daudi Masungwe wamepoteza fahamu na kukimbizwa hospitali ya Tanga, Kiungo wa Prisons Diego Magai akiongea na blog hii kutoka eneo la tukio amesema chanzo cha ajali iyo ni baada gari aina ya COaSter kuacha njia na kupinduka baada kupigwa na mwanga mkali wa taa za gari walilokua wanapishana nalo usiku ,hadi saa tano na dk hamsini usiku majeruhi walikuwa wakikimbizwa hospitali teule ya Muheza
Benki ya Absa Tanzania yazindua akaunti ya akiba ya kikundi.
-
Benki ya Absa Tanzania imezindua bidhaa mpya, Akaunti ya Akiba ya Kikundi,
inayolenga kuwawezesha watu wanaokusudia kufikia malengo ya kifedha ya
p...
18 minutes ago
No comments:
Post a Comment