Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Thursday, October 25, 2012

PICHA ZOTE ZA MECHI ZA UEFA CHAMPIONS LEAGUE MADRID YAPIGWA,ARSENAL NA MAN CITY ZAKALIA KUTI KAVU.

Borussia Dortmund Yaifunga mabao 2-1 
Real Madrid nchini Ujerumani. 
Matokeo hayo yanaipeleka Dortmund kileleni mwa kundi mbele ya timu ya 
Jose Mourinho, wakati City wanashika mkia wakiwa na pointi moja tu
 baada ya kucheza mechi tatu.
Robert Lewandowski alifunga bao dakika ya 36, kabla ya Cristiano Ronaldo kusawazisha ndani ya dakika mbili, lakini Marcel Schmelzer akawafungia 
wenyeji la ushindi dakika ya 64.
Party time: Borussia Dortmund celebrate beating Real Madrid
Borussia Dortmund wakishangilia kuifunga Real Madrid
Winner: Marcel Schmelzer slams home Dormund's second goal
Marcel Schmelzer akiifungia bao la ushindi Dormund

Olympiacos walipata ushindi wa kwanza wakitoka nyuma na kushinda 2-1 
dhidi ya Montpellier nchini Ufaransa na kuongeza ugumu katika Kundi B, 
baada ya Arsenal kufungwa na Schalke.
Gaetan Charbonnier aliifungia Montpellier dakika ya 49kabla ya Vassilas Torosidis kusawazisha dakika ya 73 na Kostas Mitroglou aliyetokea benchi akafunga la ushindi dakika za majeruhi.
Matokeo ya jana yanaipeleka Schalke kileleni kwa pointi zake saba, wakiizidi moja The Gunners, na Olympiacos inakwenda nafasi ya tatu na Montpellier inaburuza mkia.
Big win: Olympiakos boosted their chances of qualifying
Olympiakos wamejiweka katika nafasi nzuri

Malaga imeendeleza wimbi la ushindi kileleni mwa Kundi C baada ya kuifunga
 AC Milan 1-0 na sasa inaongoza kundi hilo kwa pointi tatu zaidi. Joaquin 
ndiye aliyefunga bao hilo pekee dakika ya 64 kwa pasi ya Manuel Iturra.
Mechi nyingine ya Kundi C, Zenit St Petersburg waliifunga 1-0 Anderlecht
 nchini Urusi. 
Alexander Kerzhakov alifunga dakika ya 72 kwa mkwaju wa penalti, baada ya Milan Jovanovic kuchezewa rafu kwenye eneo la hatari na Alexander Anyukov.
Katika Kundi A, Porto imeendeleza rekodi yake nzuri ya asilimia 100 kwa 
ushindi wa 3-2 dhidi ya Dynamo Kiev nchini Ureno.
Wageni walisawazisha mara mbili kupitia kwa Oleg Gusev na Ideye Brown 
baada ya wenyeji kufunga kupitia kwa Silvestre Varela na Jackson Martinez, 
kabla ya Martinez kufunga la ushindi zikiwa zimesalia dakika 12.
Despair: AC Milan were beaten by Spanish side Malaga
AC Milan walifungwa na Malaga ya Hispania

Katika Kundi A, Paris St Germain ilikwea nafasi ya pili kwa ushindi wa 
mabao 2-0 dhidi ya Dinamo Zagreb nchini Croatia, Zlatan Ibrahimovic 
akifunga la kwanza dakika ya 32 na Jeremy Menez akafunga la pili kabla ya mapumziko.

ARSENAL YAPIGWA VIWILI NYUMBANI LIGI YA MABINGWA


Arsene Wenger amekula kichapo cha mabao 2-0 na timu yake ya Arsenal mbele ya Schalke ya Ujerumani kwenye Uwanja wa nyumbani, Emirates.

TAKWIMU ZA MECHI

KIKOSI CHA ARSENAL: Mannone, Jenkinson (Gnabry 82), Mertesacker, Vermaelen, Andre Santos, Ramsey, Coquelin, Arteta, Podolski (Arshavin 82), Cazorla, Gervinho (Giroud 75).
BENCHI: Shea, Koscielny, Djourou, Chamakh.
NJANO: Vermaelen, Arteta, Ramsey, Gervinho.

KIKOSI CHA SCHALKE 04: Unnerstall, Uchida, Howedes, Matip, Fuchs, Hoger (Jones 46), Neustadter, Holtby (Barnetta 65), Afellay, Farfan, Huntelaar (Marica 87).
BENCHI: Hildebrand, Moritz, Draxler, Kolasinac.
NJANO: Afellay, Hoger.
WAFUNGAJI WA MABAO YAKE: Huntelaar 76, Afellay 86.
MAHUDHURIO: 60,049
REFA: Jonas Eriksson (Sweden)

Taking the lead: Klaas-Jan Huntelaar celebrates after scoring the opening goal
Klaas-Jan Huntelaar akishangilia bao la kwanza alilofunga
On its way: Huntelaar fires his effort towards goal
Huntelaar akifunga
Despair: Mikel Arteta reacts to Arsenal going behind
 Mikel Arteta akisikitikia kipigo
Sneaking in: Ibrahim Afellay scores the second for Schalke
Ibrahim Afellay akiifungia la pili Schalke
Dreamland: Afellay celebrates his goal
Afellay akishangilia bao lake
Race for the ball: Lukas Podolski and Marco Hoger chase the ball
Lukas Podolski na Marco Hoger wakigombea mpira
Going down: Ibrahim Afellay goes down in the penalty area Ibrahim Afellay akifanya mishe kwenye lango la Arsenal
Get up: Afellay appeals for a penalty but is booked for diving
 Afellay akilalamikia kukwatuliwa kwenye eneo la penalti, lakini akapewa njano akishutumiwa kujirusha
Tough battle: Francis Coquelin is tackled by Marco Hoeger
Francis Coquelakipambana na Marco Hoeger
High jump: Coquelin goes airbourne as he is tackled by Hoeger
Coquelin akichuana na Hoeger
Manchester United imechapwa mabao 3-1 na Ajax mjini Amsterdam katika mchezo wa Kundi D wa Ligi ya Mabingwa Ulaya

TAKWIMU ZA MECHI

VIKOSI CHA AJAX: Vermeer, Van Rhijn, Alderweireld, Moisander, Blind, Schone (Boerrigter 89), Poulsen, Eriksen, Sana (Enoh 74), De Jong, Babel.
BENCHI: Cillessen, Sulejmani, Veltman, Dijks, Fischer.
NJANO: Blind.
WAFUNGAJI MABAO: De Jong 45, Moisander 57, Eriksen 68.

KIKOSI CHA MAN CITY: Hart, Richards, Kompany, Lescott (Kolarov 63), Clichy, Y Toure, Barry (Tevez 71), Milner (Balotelli 77), Aguero, Nasri, Dzeko.
BENCHI: Pantilimon, Sinclair, Nastasic, Evans.
NJANO: Kolarov, Y Toure.
MFUNGAJI WA BAO LAO: Nasri 22.
MAHUDHURIO: 45,743.
REFA: Svein Oddvar Moen (Norway).

The floodgates are open: Christian Eriksen delights in scoring the third Ajax goal
Christian Eriksen akishangilia bao la kwanza aliloifungia Ajax
Dobule up: Niklas Moisander heads in Ajax's second goal
Niklas Moisander akiifungia Ajax's bao la pili
Potent: Ajax took Man City to pieces at the backAjax wakishangiliak
Roar: Moisander celebrates his important goal
Moisander akishangilia bao lake muhimu
Beaten: Joe Hart watches as Siem De Jong's strike hits the net
 Joe Hart akishuhudia nyavu zake zikitikiswa na Siem De Jong
Steered home: Samir Nasri opened the scoring for the visitors
Samir Nasri akiifungia Man City bao la kufutia machozi
Good work: The French midfielder is congratulated by his colleagues (and below)
Man City wanashangilia bao lao
Well done, Samir

Leap: Micah Richards strains to head the ball
Micah Richards akiondosha mpira hatarini
Blocked off: Nasri is kept away from the ball
Nasri akidhibitiwa
Benched: Mario Balotelli was not selected to start
Mario Balotelli akishuhudia kipigo benchi.. BA BIN ZUBIRY

No comments:

Post a Comment