Meneja Mawasiliano na Uhusiano wa
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Titus Kaguo
akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam,
kuhusu jitihada zilizofanywa na Serikali kukabiliana na uhaba wa mafuta
nchini, ambapo imeamua kupunguza kiwango cha mafuta yanayosafirishwa
kwenda nchi jirani na kuongeza kwenye soko la ndani. PICHA NA RICHARD
MWAIKENDA
MBUNGE JAFO: MIAKA MITANO IJAYO NI YA MCHAKAMCHAKA WA MAENDELEO KISARAWE
-
*Mbunge wa Jimbo la Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo, akizungumza na Madiwani
wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe alipokutana nao kwa ajili ya
kuzungumzi...
53 minutes ago
No comments:
Post a Comment