Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Sunday, December 2, 2012

AZAM KUKIPIGA KINSHASA KUJIANDAA NA CONFEDERATIONS CUP



 Kikozi cha Azam Fc 
...........
Azam FC inatarajia kuelekea Kinshasa Jamhuri ya Kidemokrasia ya 
Kongo tarehe 13 hadi 23 December kushiriki mashindano ya Ngao 
ya Jamii (Charity Cup)

Mashindano hayo ambayo yatashirikisha timu kubwa za kutoka Kongo
 kama DCMP na AS Vita Club timu kutoka nje ya kongo kama Azam
 FC, Tusker FC, Gombe United ya Nigeria na Diable Noirs na Congo 
Brazavile yatatumika na Azam FC kama maanadalizi ya Confederations Cup

Azam FC inahitaji maandalizi na mechi nyingi za kirafiki nje 
ya Tanzania ili kupata uzoefu kabla ya kushiriki Confederations 
Cup. Kwa maana hiyo hii ni nafasi muhimu sana kwa Azam FC

No comments:

Post a Comment