Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete hatahutubia taifa
Ijumaa, Novemba 30, 2012, kama ilivyo kawaida yake kila mwisho wa
mwezi.
Badala yake, Rais Kikwete atahutubia Taifa kesho, Jumamosi, Desemba Mosi, 2012 kutoka Uwanja wa Ilulu, mjini Lindi wakati wa Siku ya Ukimwi Duniani ambako atakuwa Mgeni Rasmi.
Badala yake, Rais Kikwete atahutubia Taifa kesho, Jumamosi, Desemba Mosi, 2012 kutoka Uwanja wa Ilulu, mjini Lindi wakati wa Siku ya Ukimwi Duniani ambako atakuwa Mgeni Rasmi.
No comments:
Post a Comment