Waziri
wa Viwanda na Biashara Mh. Abdallah Kigoda akiwa na kaimu Mkurugenzi
Mkuu wa TBS Bw. Leaudi Kinabo (kushoto) pamoja na ofisa masako
mwandamizi wa TBS wakitoka katika ukumbi wa Ubungo Plaza jijini Dar es
salaam baada ya ufunguzi wa semina kwa wafanya biashara ya ufungashaji
bidhaa iliyoandaliwa na shirika la viwango Tanzania. (picha na Chris
Mfinanga).
Meneja
Viwango na Uhandisi wa TBS Eng Tumaini Mtitu (kulia) akibadalisha
mawazo na Mkurugenzi wa upimaji na ugezi Bibi Kezia Mbwambo wakati wa
semina ya ufungashaji bidhaa semina hiyo iliandaliwa na shirika la
viwango Tanzania TBS.
No comments:
Post a Comment