DK. SHEIN AKUTANA NA MKURUGENZI WA KIMATAIFA WA MFUKO WA MAENDELEO YA KILIMO
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(kushoto) akisalimiana na Mkurugenzi wa Kimataifa wa Mfuko wa Maendeleo ya Kilimo Perin L.Saint Ange,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar,akiwa na ujumbe wake.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(kulia) akizungumza na Mkurugenzi wa Kimataifa wa Mfuko wa Maendeleo ya Kilimo Perin L.Saint Ange,(katikati) alipofika Ikulu Mjini Zanzibar,akiwa na ujumbewake.Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.
No comments:
Post a Comment