Pages

Thursday, January 17, 2013

SIMBA WAKUTANA NA MDHAMINI WA SAFARI YAO NCHINI OMAN



Rahma al Kharoos ambaye hivi karibuni alichaguliwa kuwa mjumbe wa kamati ya utendaji ya simba, leo jioni alitembelea mazoezi ya Simba kwenye uwanja wa Oman Club
Rahma pia ndiye mmiliki wa RBP Oil, aliwahi kuwa mdhamini mkuu wa Twiga Stars, pia aliwahi kuwa mmoja wa wamiliki wa African Lyon..ni kati ya wapenda michezo.
Pia ndiye aliyeidhamini safari yote ya Simba hapa Oman kwa kuwalipia hoteli, tiketi pamoja na chakula kwa muda wote wa siku 14 watakazokuwa hapa.
 
 
 
PICHA NA SALEHE ALLY WA CHAMPION

No comments:

Post a Comment