Pages

Monday, March 18, 2013

BREAKING NEWS : TRAFIKI AFARIKI BAADA YA KUGONGWA NA GARI ENEO LA BAMAGA



Trafiki Elikiza baada ya kugongwa na gari eneo la Bamaga muda huu


Trafiki wa kike aliyejulikana kwa jina moja la Elikiza aliyekuwa akiongoza magari 
eneo la Bamaga, Mwenge jijini Dar, akifunikwa na wasamaria wema baada ya kugongwa na gari na inadhaniwa kuwa amekufa papo hapo.

SOURCE GLOBAL PUBLISHER

No comments:

Post a Comment