Hii
picha ni ya enzi hizo lakini hiyo hapo chini ndio ya muonekano wake wa
sasa aliyopigwa Hawaii mwishoni mwa wiki iliyopita……. jina lake la
kuzaliwa ni Carlos Ray Norris ambae march 10 2013 amefikisha umri wa
miaka 73…. ni mmoja kati ya movie stars wa dunia miaka hiyo.
No comments:
Post a Comment