Pages

Monday, March 18, 2013

MAPACHA WASTAAFU KAZI YA UKAHABA BAADA YA MIAKA 50 WAKIWA WAMELALA NA WANAUME 355,000



Louise na Martine Fokkens wakiwa kazini.
MAPACHA wenye umri wa miaka 70 nchini Amsterdam, Uholanzi, wameamua kustaafu kazi yao ya ukahaba baada ya kuifanya kwa miaka 50. Mapacha hao Louise na Martine Fokkens wameamua kustaafu baada ya umri kuwatupa mkono na kudai kuwa kwa sasa hawapati wateja. 
Louise na Martine wamelala na jumla ya wanaume takribani 355,000, kila mmoja akiwa amejivinjari na wastani wa wanaume 177,500 kwa kipindi cha miaka 50, ambapo kwa mwaka mmoja kila mmoja alikuwa analala na wanaume 3,550 sawa na wanaume 295 kwa mwezi na kwa siku wanaume 9.

No comments:

Post a Comment