Pamoja
na kwamba rapper Lil Wyne ametoka hospitali jana march 19 alikokua
amelazwa toka wiki iliyopita ikidaiwa anasumbuliwa na magonjwa kadhaa
ikiwemo degedege ambapo hata mwaka 2012 alipata tabu sana akiwa kwenye
ndege baada ya kuanza kuugua ghafla, unaweza kuitumia hii nafasi
kusafisha macho kwa kutazama picha za hospitali alikokua amelazwa huko
Las Angeles, California Marekani.
.
Ni hospitali iliyowatibu mastaa kibao akiwemo Britney Spears.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
No comments:
Post a Comment